Wananchi wachoma nyumba na magari Geita Nyumba na gari vikiwa vimeungua Watu zaidi ya 20, wakazi wa kijiji cha Nzera Kata ya Nzera, Wilayani Geita hawana sehemu ya kuishi ufuatia nyumba zao kubomolewa na zingine kuchomwa moto na kikundi cha watu ambao pia ni wakazi wa eneo hilo. Read more about Wananchi wachoma nyumba na magari Geita