Mahakama yatangaza ushindi wa Upinzani

Mahakama ya Juu ya nchini DR Congo imemtangaza kiongozi wa Upinzani, Bw. Felix Tshisekedi kuwa mshindi wa uchaguzi wa Urais baada ya kutupilia mbali pingamizi la mpinzani wake, Martin Fayulu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS