Mahakama yatangaza ushindi wa Upinzani Mahakama ya Juu ya nchini DR Congo imemtangaza kiongozi wa Upinzani, Bw. Felix Tshisekedi kuwa mshindi wa uchaguzi wa Urais baada ya kutupilia mbali pingamizi la mpinzani wake, Martin Fayulu. Read more about Mahakama yatangaza ushindi wa Upinzani