Katibu wa CCM akamatwa na polisi kisa maandamano

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Hai akiwa mikononi mwa polisi

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Hai aliyefahamika kwa jina la Kumotola Kumotola amejikuta akiingia mikononi mwa polisi kwa madai ya kulizuia jeshi la polisi kufanya kazi yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS