Spika wa Bunge aagiza Lissu kurejea nchini

Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu.

Spika wa Bunge, Job Ndugai amemtaka Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu kurejea nyumbani kwa kuwa hana kibali cha kuwa nje ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS