"Simba mniache sitokaa milele"- Haji Manara

Afisa habari wa klabu ya Simba Haji Manara.

Afisa habari wa klabu ya Simba Haji Manara amefunguka kuchukizwa na kitendo cha mashabiki wa klabu hiyo kumtukana baada ya timu hiyo kupoteza nafasi katika michuano ya SportPesa Cup.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS