"Simba mniache sitokaa milele"- Haji Manara Afisa habari wa klabu ya Simba Haji Manara. Afisa habari wa klabu ya Simba Haji Manara amefunguka kuchukizwa na kitendo cha mashabiki wa klabu hiyo kumtukana baada ya timu hiyo kupoteza nafasi katika michuano ya SportPesa Cup. Read more about "Simba mniache sitokaa milele"- Haji Manara