Heche, Peneza, Zitto waililia Januari 29

Kushoto ni Mbunge Zitto Kabwe, Mbunge Upendo Peneza (Katikati) na Mbunge John Heche.

Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, ameitaja siku ya leo Januari 29, 2017 ni siku ya huzuni kwa demokrasia ya Taifa kutokana na kile alichokidai wabunge kutoka Chama Cha Mapinduzi kutumia wingi wao kwa hila kuamua kupitisha Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS