Dismas Ten wa Yanga aitumia ujumbe Simba Kushoto ni Dismas Ten na kulia ni Clatous Chama. Baada ya ushindi wa Simba wa mabao 3-1 dhidi ya Nkana FC, msemaji wa wapinzani wa Simba nchini klabu ya Yanga Dismas Ten ameipongeza Simba kwa ushindi huo. Read more about Dismas Ten wa Yanga aitumia ujumbe Simba