Solskjaer amuonya mchezaji juu ya mitandao

Kocha wa Man United na mchezaji Jesse Lingard

Imejulikana kuwa kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer alimemueleza mshambuliaji wake Jesse Lingard aachane na matumizi ya mtandao ya kijamii ili arudishe kiwango chake kilichozorota hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS