Athari za Mvua : Paa la Nyumba laangukia nguzo

Picha si halisi

Wakazi wa Mtaa wa Nsemulwa kwa Mkumbo Kata ya Uwanja wa ndege Mkoa wa Katavi wamekumbwa na taharuki kubwa, baada ya kunyesha Mvua iliyoambatana na upepo mkali ulioezua Paa la Nyumba lililoenda kuangukia juu ya nyaya za umeme.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS