'Nilifananishwa na Shetani' - Barnaba

Msanii wa Muziki wa BongoFleva, Barnaba Classic.

Msanii wa Muziki wa BongoFleva, Barnaba Classic amefunguka na kusema moja ya changamoto alizowahi kupitia wakati akianza muziki, ni wazazi wake kukataa asifanye muziki huo kwa walikuwa na misingi ya Dini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS