Mshambuliaji Owe Bonganya (wa kwanza kushoto) akiwa na wakala wake pamoja na mwakilishi wa mdhamini wao.
Mabingwa wa Kihistoria katika Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, hii leo imethibitisha kumpokea mshambuliaji kutoka TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Owe Bonganya.