Tigo yatoa zaidi ya Mil 20 kwa mawakala kinara

Mkuu wa Kitengo cha Tigopesa, Angelica Pesha, katikati akiwa na washindi wa promosheni ya wakala kinara.

Washindi wawili wa promosheni ya wakala kinara, kutoka kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, wamejinyakulia zawadi zao kila mmoja, akiwemo Hajira Fadhili, ambaye ni mkazi wa Ilala, Jiji la Dar es Salaam, aliyejinyakulia kiasi cha Shilingi milioni 20.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS