Tigo yatoa zaidi ya Mil 20 kwa mawakala kinara
Washindi wawili wa promosheni ya wakala kinara, kutoka kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, wamejinyakulia zawadi zao kila mmoja, akiwemo Hajira Fadhili, ambaye ni mkazi wa Ilala, Jiji la Dar es Salaam, aliyejinyakulia kiasi cha Shilingi milioni 20.

