Gambo ataka Injinia avunjiwe mkataba wa kujenga Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, ametoa siku 7 kwa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kupitia upya na kama itawezekana, kuvunja mkataba wa ujenzi wa moja ya barabara iliyopo ndani ya hifadhi. Read more about Gambo ataka Injinia avunjiwe mkataba wa kujenga