Jengo la TBA lateketea kwa moto

Jengo likiteketea kwa moto.

Familia za watu sita wanaoishi katika nyumba za Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), zilizopo katika eneo la Isamilo mkoani Mwanza, wamenusurika kifo baada ya moto uliozuka katika jengo hilo na kuteketeza mali zote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS