Fahamu tahadhari ya Mvua iliyotolewa na TMA Picha: Mvua ikinyesha Mamalaka ya hali ya hewa nchini (TMA), imetoa tahadhari ya uwezekano wa uwepo wa mvua kubwa kwa Mikoa mitano nchini Tanzania, ikiwemo Mtwara, Lindi, Pwani, Ruvuma na Kusini mwa Mkoa wa Morogoro. Read more about Fahamu tahadhari ya Mvua iliyotolewa na TMA