Meya DSM adai viongozi wa Dini wamemuokoa
Meya wa jiji la Dar es salaam Isaya Mwita, amesema moja ya vitu ambavyo vimesaidia yeye kuendelea kusalia kwenye kiti chake cha Umeya ni maombi ya viongozi wa Dini, ambao walimuombea kabla ya kwenda kupigiwa kura kwenye kikao cha Baraza la Madiwani.

