Yanga yasubiri barua, M/Kiti aikana kamati saa 72
Uongozi wa klabu ya Yanga umeendelea kusisitiza kuwa unasubiri barua rasmi ya adhabu iliyotolewa na Kamati ya Uendeshaji wa Ligi kufuatia madai ya utovu wa nidhamu yaliyofanywa na wachezaji wake na kocha.

