Thamani ya mauzo ya Hisa yafikia Bil 2.04

Thamani ya mauzo na manunuzi ya hisa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam(DSE), imepanda hadi kufikia bilioni 2.04 kwa juma lililoishia Januari 10, 2020, ukilinganisha na shilingi milioni 408.10 kwa juma lililoishia Januari 3, 2019.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS