Malipo ya pensheni yapaa ndani ya miaka 2 Zanzibar
Rais Dkt. Ali Mohamed Shein
Sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimefanyika leo katika Uwanja wa Amani, Zanzibar na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa wakiongozwa na Rais Magufuli.