Kauli ya Lipumba baada ya Madiwani CUF kuhamia CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Prof. Ibrahim Lipumba

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, amesema anashangazwa na kitendo cha Madiwani 8 wa Halmashauri ya jiji la Tanga waliojiengua chama hicho na kusema viongozi hao wamekwenda kuunga hali ngumu ya maisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS