Kauli ya Lipumba baada ya Madiwani CUF kuhamia CCM
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, amesema anashangazwa na kitendo cha Madiwani 8 wa Halmashauri ya jiji la Tanga waliojiengua chama hicho na kusema viongozi hao wamekwenda kuunga hali ngumu ya maisha.

