Kutoka kushoto pichani ni Mkuu wa kitengo cha masoko Multichoice Tanzania Baraka Shelukindo, msanii wa filamu na muziki Jacqueline Wolper, Dully Sykes na mkuu wa kitengo cha thamani kwa wateja Hilda Nakajumo
Kampuni ya Multichoice Tanzania DSTV, imetangaza kampeni ya ofa yao mpya inayokwenda kwa jina la tia vitu pata vituz, ambayo itamrahisishia maisha Mtanzania na mteja wa huduma zao.