Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani Bw. Filberto Sanga
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani Bw. Filberto Sanga amewataka Watendaji wa Kata, Vijiji na Wataalam wengine kujieupusha na tabia ya kuchukua fedha kwa wananchi ili wawapatie fomu za kitambulisho cha taifa NIDA.