Makonda apewa msaada wa Ndoo 500 za rangi 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amepokea msaada wa ndoo 500 za rangi kutoka Billion Paints kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa wanafunzi zaidi ya 5,000, walioshindwa kujiunga na kidato cha kwanza kutokana na uhaba wa madarasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS