'Mahotelini kuna migogoro mingi' - Waziri Jenista

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, amezitaja Sekta zinazoogoza kwa kuwa na migogoro ya kikazi, na kupelekea kutumika vibaya kwa rasilimali muda kati ya Mwajiri na Mfanyakazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS