'Tumuombee Samatta' - Waziri Mwakyembe
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe amewataka Watanzania kumuombea Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania Mbwana Samatta, ili aweze kufanikiwa katika klabu yake mpya ya Aston Villa ambayo amesaini mkataba wa miaka 4 na nusu.

