Yanga yamtangaza kocha mpya, apewa majukumu mawili Kocha Riedoh Berdien Klabu ya Yanga imethibitisha kuingia mkataba na kocha Riedoh Berdien raia wa Afrika Kusini kuja kuongeza nguvu katika benchi la ufundi la klabu hiyo. Read more about Yanga yamtangaza kocha mpya, apewa majukumu mawili