Alikiba atangaza vitu maalum na suprise hizi hapa
Kesho siku ya Jumamosi ya Disemba 21, 2019, Alikiba atausimamisha Mkoa wa Iringa kufuatia ziara yake kimuziki aliyoipa jina la AlikibaUnforgettable Tour, akiwa na wasanii wengine kutoka kundi la Kings Music, Christian Bella, pamoja na Tundaman.