Majibu ya Dully Sykes kuhusu wasanii kuwa wakongwe

Picha ya msanii wa muziki Dully Sykes

Msanii wa muda mrefu kwenye BongoFleva Dully Sykes, amesema hana noma yoyote kwa mtu kumwita jina la mkongwe kwa sababu bado anaenda sawa na vijana pia anafanya mziki mzuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS