Kingwendu arudisha fomu, ataja Jimbo analolichukua
Mchekeshaji Kingwendu
Mchekeshaji wa muda mrefu Bongo Kingwendu amesema leo Julai 6, 2020 anarudisha fomu ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Ilala na ametaja vipaumbele vyake kama Maji, Shule na Hosptali.