Alichokisema Wakazi baada ya kujiunga na ACT
Baada ya kusambaa kwa picha mitandaoni zikimuonesha msanii wa HipHop Wakazi, akipewa kadi ya uanachama na viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, leo hii amejitokeza kueleza lengo lake la kujiunga na chama hicho.
