Alichokisema Wakazi baada ya kujiunga na ACT

Msanii Wakazi akiwa na kiongozi wa Chama Cha ACT-Wazalendo

Baada ya kusambaa kwa picha mitandaoni zikimuonesha msanii wa HipHop Wakazi, akipewa kadi ya uanachama na viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, leo hii amejitokeza kueleza lengo lake la kujiunga na chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS