Majambazi wavamia Benki ya CRDB, mmoja auawa

Jengo la CRDB tawi la Igoma Mwanza pamoja na sehemu zilizotobolewa

Mtu mmoja anayedhaniwa kuwa ni jambazi amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na polisi baada ya kuvamia Benki ya CRDB tawi la Igoma jijini Mwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS