Majambazi wavamia Benki ya CRDB, mmoja auawa Jengo la CRDB tawi la Igoma Mwanza pamoja na sehemu zilizotobolewa Mtu mmoja anayedhaniwa kuwa ni jambazi amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na polisi baada ya kuvamia Benki ya CRDB tawi la Igoma jijini Mwanza. Read more about Majambazi wavamia Benki ya CRDB, mmoja auawa