Dkt Shein ampongeza Rais Magufuli kwa hili
Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein, amempongeza Rais Magufuli kwa hatua aliyofikia ya ujenzi wa Ikulu ya Dodoma na kumtakia kila la heri katika safari yake hiyo na kuongeza kuwa hiyo ndiyo raha ya kujitawala kwakuwa inakupa nafasi ya kufanya vitu kwa uhuru.

