Kura zapigwa , Trilioni 34.88 zapitishwa Bungeni

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango.

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Juni 15, 2020, limepitisha rasmi Bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha 2020/21,kiasi cha Trilioni 34.88, kwa kupigiwa kura za NDIYO 304 na kura za HAPANA 63.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS