"Kwenye jina la Lowassa toa weka Magufuli" - Kala

Msanii wa HipHop Kala Jeremiah

Msanii na mwanaharakati Kala Jeremiah amesema kuwa, kampeni za mwaka 2015 alimpigia Edward Lowassa, ila mwaka huu amesema pale kwenye jina la Lowassa atatoa na kuweka John Pombe Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS