"Kwenye jina la Lowassa toa weka Magufuli" - Kala Msanii wa HipHop Kala Jeremiah Msanii na mwanaharakati Kala Jeremiah amesema kuwa, kampeni za mwaka 2015 alimpigia Edward Lowassa, ila mwaka huu amesema pale kwenye jina la Lowassa atatoa na kuweka John Pombe Magufuli. Read more about "Kwenye jina la Lowassa toa weka Magufuli" - Kala