Mwanza waanzisha Mobile Clinic, RC apima afya Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella, amezindua kliniki inayotembea (Mobile Clinic) kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa waliopo kwenye maeneo yenye uhaba wa huduma za afya. Read more about Mwanza waanzisha Mobile Clinic, RC apima afya