Afisa aliyekamata bangi milimani, ateuliwa na Rais

Rais Magufuli akimuapisha Kamishna James Kaji

Rais Magufuli amempandisha cheo aliyekuwa Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya nchini, Bw. James Kaji na kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS