"Picha ni ya karibuni, Lissu atazungumza" - Meya

Meya wa Ubungo Boniface Jacob, na kulia ni aliyewahi kuwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Meya wa Ubungo Boniface Jacob amesema kuwa, huenda siku mbili zijazo aliyewahi kuwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ataweza kuzungumza na kueleza yuko wapi na anafanya nini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS