Afisa aliyekamata bangi milimani, ateuliwa na Rais
Rais Magufuli akimuapisha Kamishna James Kaji
Rais Magufuli amempandisha cheo aliyekuwa Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya nchini, Bw. James Kaji na kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo.