Juma Abdul awajibu mashabiki wa Simba Juma Abdul Nahodha wa Yanga, Juma Abdul amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo na kuwataka kuwa na furaha kwenye kipindi hiki ambacho wanafanya maandalizi makubwa kuelekea kwenye mchezo dhidi ya watani wao wa jadi Simba. Read more about Juma Abdul awajibu mashabiki wa Simba