CHADEMA waadhimia kutorudisha posho Bungeni

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika na Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeadhimia kuyapuuzia maagizo ya Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, aliyewataka Wabunge wote wa chama hicho ambao hawahudhurii vikao vya Bunge kwa sasa kurudisha posho walizolipwa, ambapo kwa umoja wao wanadaiwa zaidi ya Milioni 110.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS