Idadi watahiniwa kidato cha 6 na ualimu yatolewa

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Charles Msonde

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Charles Msonde, amesema jumla ya watahimiwa 85,546 ndio waliosajiliwa kufanya mitihani ya kidato cha sita na ualimu inayotarajiwa kuanza nchi nzima hapo kesho Jumatatu Juni 29, 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS