Magufuli awashangaa Wazaramo Jokate kutokuolewa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amewashangaa watani zake Wazaramo kwa kushindwa kumuoa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo ili hali hana Mume.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS