Yanga yazungumzia sakata la Tshishimbi kugoma Papy Tshishimbi wa Yanga na Mohammed Hussein wa Simba Klabu ya soka ya Yanga imekanusha taarifa zinazoenea juu ya nahodha wake Papy Tshishimbi kuwa amegoma kuichezea miamba hiyo kwa sababu za madai ya maslahi yake. Read more about Yanga yazungumzia sakata la Tshishimbi kugoma