Yanga yazungumzia sakata la Tshishimbi kugoma

Papy Tshishimbi wa Yanga na Mohammed Hussein wa Simba

Klabu ya soka ya Yanga imekanusha taarifa zinazoenea juu ya nahodha wake Papy Tshishimbi kuwa amegoma kuichezea miamba hiyo kwa sababu za madai ya maslahi yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS