Mwambe ataja sababu ya msingi iliyomuondoa CHADEMA

Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe.

Mbunge wa Ndanda Cecil Mwambe, anayemalizia muda wake wa Ubunge kupitia CHADEMA, na kisha kuendelea na chama chake cha sasa cha CCM, amesema kuwa kukosekana kwa ajenda muhimu za kuelekea katika uchaguzi Mkuu wa 2020 ndani ya chama hicho, ndiyo chanzo cha yeye kutimkia CCM.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS