Baada ya Vanessa,mwingine atangaza kustaafu muziki

Mtayarishaji wa muziki Marekani Dj Khaled

DJ, Muandishi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki nchini Marekani Dj Khaled (45) ametangaza nia ya kustaafu kufanya shughuli zamuziki huku akitaka kuwa kama Jay Z  au Michael Jordan kwenye upande wa mchezo wa NBA.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS