Kampuni zisizotoa mrejesho kushughulikiwa
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko ameagiza kuchukuliwa hatua kwa baadhi ya makampuni yanayojishugulisha na utafiti na uchimbaji wa madini pamoja na Gesi asilia ambayo yameshindwa kutoa mrejesho licha ya kupewa wito wa kufika katika kikao muhimu cha wadau wa madini.

