Wizara yazungumzia watoto waliofunga ndoa

Kushoto ni watoto wanaodaiwa kufunga ndoa mkoani Geita, na kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Dkt Avemaria Semakafu.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Dkt Avemaria Semakafu amesema kuwa kwa yeyote aliyehusika ama kuhamasisha vitendo vya ubakaji na ngono kwa watoto wadogo, adhabu yake ni kifungo cha miaka 30 na kwamba lazima sheria itafuata mkondo wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS