Mwili waokotwa Ziwa Victoria, Padre aelezea tukio

Ziwa Victoria

Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Kagera Inspekta Hamis Dawa, amesema kuwa taarifa za mwili wa mwanaume mmoja kuelea Ziwani zilitolewa na Padre Deritius Rwehumbiza wa Kanisa Katoliki Bunena mkoani humo ambalo liko jirani na Ziwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS