P Mawenge ataka kuzichapa ulingoni na Nikki Mbishi

Wasanii wa HipHop kushoto ni P Mawenge kulia Nikki Mbishi

Baada ya kupeana makavu "diss track" kwenye ngoma zao, P Mawenge amesema yupo tayari kuzichapa ulingoni na Nikki Mbishi kwa lengo la kutengeneza maslahi binafsi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS