Mfahamu aliyetenguliwa na kuteuliwa hii leo

Kushoto ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, na kulia ni Godffrey Mwambe aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TIC.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemteua Dkt Maduhu Isaac Kazi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), ambapo kabla ya uteuzi huo Dkt Kazi alikuwa ni Meneja wa Idara za Sera za Kibajeti na Madeni wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS