Mfahamu aliyetenguliwa na kuteuliwa hii leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemteua Dkt Maduhu Isaac Kazi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), ambapo kabla ya uteuzi huo Dkt Kazi alikuwa ni Meneja wa Idara za Sera za Kibajeti na Madeni wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT).

