Bei ya samaki yapaa

Moja ya wachuuzi wa samaki Dar es Salaam

Wafanyabiashara na wachuuzi wa samaki jijini Dar es Salaam wamesema kwa Sasa samaki wamepanda Bei kwa ndoo ndogo kutoka 15000 Hadi Elfu 50000 na elfu 30000 Hadi 90000 kwa ndoo kubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS