Zakazakazi ataja sababu ya Azam kukosa ubingwa
Mkuu wa Idara ya Habari wa Azam FC, Thabit Zakaria 'Zakazakazi' amesema malengo ya klabu hiyo ni kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi licha ya kupitwa na wapinzani wao Yanga SC ambao anaamini wamekaa katika nafasi yake.

