Dewji aja na jipya kuhusu dabi ya Jumapili
Mdau na mwanachama wa klabu ya Simba ,Azim Dewji ameshauri mchezo wa nusu fainali ya kombe la Azam Sports Federation Cup kati ya Simba na Yanga kupelekwa mbele kwa wiki moja mbele ili kupisha tukio la mkutano mkuu wa chama cha mapinduzi CCM .

