Watoto wanaodaiwa kuoana Geita, wazungumza

Watoto wa Darasa la 2 na 4, wanaodaiwa kuoana huko mkoani Geita.

Watoto wadogo wanaosoma Darasa la Nne na la Pili, huko Mkoani Geita, ambao taarifa zao za kudaiwa kufunga ndoa zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, wamesema kuwa hiyo haikuwa ndoa halisi na kwamba walifanya tu kama mchezo wa kitoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS