Kagere ainyatia rekodi ya Machinga ndani ya mechi.
Mshambuliaji wa klabu ya Simba,Meddie Kagere amekaribia kuifikia rekodi yake ya msimu uliopita alipofikisha mabao 23 katika ligi kuu Tanzania bara baada ya jana kuifungia timu yake mabao mawili wakati mnyama ikiidhibu Alliance ya Mwanza kwa bao 5-1.

