Mtoto wa mwaka 1 afariki kwenye Dimbwi la Maji Nyumba ikiwa imezungukwa na maji yaliyotokana na mvua kunyesha Jeshi la Zimamoto mkoani Kagera limefanikiwa kuopoa mwili wa mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina la Baraka Mwombeki (1), ambaye alitumbukia katika dimbwi la maji lililotokana na mvua. Read more about Mtoto wa mwaka 1 afariki kwenye Dimbwi la Maji