EXCLUSIVE: Mke wa Kigwangalla amzungumzia Mumewe
Mke wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla, Dkt Bayoum Awadhi, ameeleza ni kwa namna gani huwa ana-miss uwepo wa mume wake nyumbani hii ni kutokana na Dkt Kigwangalla kuwa na majukumu mengi ya kikazi yanayopelekea kutokuwepo nyumbani kwa wakati.

