Picha ya pamoja kulia ni H Baba na kushoto Harmonize
Kutokea pande za Mwanza msanii H-Baba amejibu yanayoendelea kwenye Jamhuri ya watu wa mitandaoni, kwamba amekuwa Chawa wa Harmonize kwa kusema, ni vizuri kwa sababu hayo ni maoni ya watu na hatakiwi kuyapinga.