"Acha niwe Chawa wa Harmonize" - H Baba

Picha ya pamoja kulia ni H Baba na kushoto Harmonize

Kutokea pande za Mwanza msanii H-Baba amejibu yanayoendelea kwenye Jamhuri ya watu wa mitandaoni, kwamba amekuwa Chawa wa Harmonize kwa kusema, ni vizuri kwa sababu hayo ni maoni ya watu na hatakiwi kuyapinga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS