Juventus yaweka rekodi yake ligi tano bora Ulaya

Wachezaji wa Juve wakishangilia ubingwa wa Serie kwenye vyumba vya kubadilishia nguo uwanja wa Allianz Stadium

Juventus imetwaa taji la 9 mfululizo la Serie A baada ya ushindi dhidi ya Sampdoria na kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kufikisha idadi hiyo katika ligi tano bora barani Ulaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS