EXCLUSIVE: Mke wa Kigwangalla amzungumzia Mumewe

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla na Mke wake Dkt Bayoum.

Mke wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla, Dkt Bayoum Awadhi, ameeleza ni kwa namna gani huwa ana-miss uwepo wa mume wake nyumbani hii ni kutokana na Dkt Kigwangalla kuwa na majukumu mengi ya kikazi yanayopelekea kutokuwepo nyumbani kwa wakati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS