Ukweli kuhusu Simba kulifuta benchi la ufundi.
Uongozi wa klabu ya Simba sc kupitia kwa mtendaji mkuu wa timu hiyo Senzo Mazingisa umekanusha taarifa zinazoenea kuwa timu hiyo inampango wakuliondoa benchi zima la timu hiyo pamoja na wachezaji mbalimbali katika kipindi cha dirisha kubwa la usajili linalotarajia kuanza july 31 2020.

