Pichani Hali ilivyo katika kituo kipya Gongolamboto baada ya kukosekana mtaro wa majitaka
Wakazi wa kituo kipya Gongolamboto wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa Mtaro wa kupitisha maji taka ambao awali ulichimbwa na kuachwa bila kukamilishwa kwa ujenzi wake licha ya kujengwa kwa baadhi ya vivuko.