CHAWATA wamlilia Mkapa
Chama cha Walemavu Tanzania (CHAWATA) kimeelezea namna rais wa serikali ya awamu ya tatu hayati Benjamin William Mkapa aliivyokuwa mstari wa mbele katika kujali maslahi ya kundi hilo kwa kusaini mkataba ambao ulikuwa na tija kwa jamii ya walemavu.

