"Niwe Mbunge, nipeleka shida kwa RC?" - Hapi

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi amesema kuwa hana mpango wa kugombea Ubunge, kwani akiwa Mbunge itamulazimu kupeleka shida za wananchi wake kwa Mkuu wa Mkoa ili amtatulie, kitendo ambacho hayuko tayari kukifanya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS