Laighton Baines akishangilia moja ya mabao aliyoyafunga akiichezea Everton
Leighton Baines ni mchezaji mkongwe wa Everton ambaye amestaafu rasmi mchezo wa soka baada ya kuutumikia kwa miaka 18 katika vilabu viwili tofauti vya ligi kuu ya England ambavyo ni Everton na Wigan Athletics.