Simama na mimi yazinduliwa rasmi

Rais wa Bongo Fleva, Dullah Planet akikabidhiwa funguo ya gari na Mkuu wa Idara ya Masoko wa East Africa Television Ltd, Roy Mbowe.

Ile kampeni ya "Simama na Mimi' iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu takribani wiki mbili sasa hatimaye imezinduliwa leo katika studio za East Africa Radio na East Africa TV, Mikocheni, Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS